Hit maker huyo wa ‘Nana’ na Wizkid wameungana na wanamuziki wengine wakubwa wa Afrika kama Yemi Alade (Nigeria), rapper Sarkodie (Ghana), kundi la Mafikizolo (South Africa), Sauti Sol (Kenya), Becca (Ghana) na Toofan (Togo).
Maproducer ambao wameshiriki kutengeneza wimbo huo ni Cobhams Asuquo (Nigeria), David KING DAVID Muthami (Kenya) na Ellputo (Mozambique).
0 comments:
Post a Comment