Mtayarishaji wa video anayefanya vizuri na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema yupo tayari amlipe mtu ili amuunganishe na muongozaji mkongwe wa video wa Afrika Kusini, Godfather.
11820714_649999765102448_1875389659_n
Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa akikutana na Godfather atajifunza vitu vingi.
“Godfather ni mtu mkubwa sana,” amesema Hanscana.
“Unajua mimi kwake ni kama naanza kazi, natamani sana kukutana naye. Nipo tayari nimlipe mtu ili anikutanishe na Godfather. Ana experience kubwa na kazi hii, kwahiyo kwangu ni mtu muhimu sana.”

Advertisement

Next
Newer Post
Previous
This is the last post.

0 comments:

Post a Comment

 
Top